Kilibido ni lugha ya Kiafrika-Kiasia nchini Ethiopia inayozungumzwa na Walibido. Mwaka wa 2007 idadi ya wasemaji wa Kilibido imehesabiwa kuwa watu 64,400. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kilibido iko katika kundi la Kikushi.

Viungo vya nje hariri

  Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kilibido kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.