Kisiwa cha Wight kinapatikana kusini kwa Britania. Ni sehemu ya Uingereza.

Kina eneo la kilometa mraba 384 na wakazi 141,000.

Makala hii kuhusu maeneo ya Uingereza bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Kisiwa cha Wight kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.