Kitabu pepe (kwa Kiingereza: electronic book au e-book) ni kitabu kinachopatikana kwenye umbo la tarakimu na kusomwa katika tarakilishi, hasa kupitia intaneti.

Kitabu pepe cha Amazon kinaitwa "Kindle 3".

Zinapatikana pia maktaba pepe ambamo inawezekana kukuta, kuchagua na kusoma vitabu vingi.

Marejeo hariri

  • Kahigi, K. K. (2007). Ujanibishaji wa Office 2003 na Windows XP kwa Kiswahili Sanifu. Kioo cha Lugha, 5(1).
  Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.