Kizulu (isiZulu) ni lugha ya Wazulu inayoongelewa hasa nchini Afrika Kusini, hasa katika jimbo la KwaZulu-Natal. Kizulu huhesabiwa kati ya lugha za Kinguni ndani ya kundi kubwa zaidi la lugha za Kibantu.

Shujaa wa kabila la Wazulu.

Mwaka wa 2006 idadi ya wasemaji wa Kizulu nchini Afrika Kusini imehesabiwa kuwa watu 9,980,000. Pia kuna wasemaji nchini Botswana, Lesotho, Malawi, Msumbiji na Eswatini. Kufuatana na uainishaji wa lugha za Kibantu wa Malcolm Guthrie Kizulu iko katika kundi la S40.

Wakati wa Mfecane katika karne ya 19 wasemaji wa lugha ya Kizulu walihama hadi Zimbabwe, Zambia, Msumbiji na Tanzania ambapo lugha imebadilika kiasi kikubwa na kuwa, kwa mfano, Kindebele au Kingoni.

Tafsiri ya ukurasa katika Kizulu

"IsiZulu (isiZulu) siwulimi lwesiZulu olukhulunywa eNingizimu Afrika, lunabantu abalinganiselwa ezigidini eziyisi-9-10 ikakhulukazi esifundazweni saKwaZulu-Natal. IsiZulu sibalwa phakathi kwezilimi zamaKinguni ezilimini zesiNtu.

Iqhawe lamaZulu

Ngo-2006 isibalo sabakhuluma isiZulu eNingizimu Afrika sasilinganiselwa ku-9,980,000. Kukhona nezikhulumi eBotswana, Lesotho, Malawi, Mozambique naseSwazini. Ngokwesigaba sikaMalcolm Guthrie sezilimi zesiNtu isiZulu siseqenjini le-S40.

Ngekhulunyaka le-19 abakhuluma ulimi lwesiZulu bafudukela eZimbabwe, eZambia, eMozambique naseTanzania lapho ulimi seluguquke kakhulu ngokwesibonelo isiKindebele noma iKingoni"

Viungo vya nje hariri

  Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kizulu kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.