Klaudi, Asteri na Neoni

Klaudi, Asteri na Neoni (walifariki Egea, 303 ) walikuwa ndugu Wakristo wa Kilikia, leo nchini Uturuki, waliofia dini yao wakati wa dhuluma ya kaisari Dioklesyano[1].

Tangu kale wote wanaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Kanisa la Kiorthodoksi kama watakatifu[2].

Sikukuu yao ni tarehe 23 Agosti[3].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.