Korean Broadcasting System

mtangazaji wa umma wa Korea Kusini

Korean Broadcasting System (KBS) (kwa Kikorea: 한국방송공사, Hanguk Bangsong Gongsa) ni mtangazaji wa kitaifa wa Korea Kusini.

Ilianzishwa mnamo 1927, na inafanya kazi kwa redio, runinga, na huduma za mkondoni, ikiwa mojawapo ya mitandao kubwa zaidi ya runinga ya Korea Kusini.

Viungo vya nje hariri

  Makala hii kuhusu mambo ya uchumi bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Korean Broadcasting System kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.