Kos (kwa Kigiriki: Κως, Kos) ni kisiwa cha Ugiriki kilichopo kusini mwa Bahari ya Aegean.

Maghofu ya ukumbi wa michezo.
Magofu ya Asclepeion

Kina wakazi 33,387 (2011) wanaotegemea zaidi utalii.

Kinatajwa na Biblia ya Kikristo (Matendo ya Mitume) kwa kuwa mwaka 58 Mtume Paulo, katika safari yake ya tatu ya kimisionari, alipitia huko.

Tanbihi hariri

Viungo vya nje hariri

 
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
  Makala hii kuhusu maeneo ya Ugiriki bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Kos kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.