Krisanto na Daria
Krisanto na Daria (walifariki 253 hivi) ni mume na mke Wakristo waliopata umaarufu tokea zamani kama wafiadini[1], ambao juu ya makaburi yao mjini Roma limejengwa kanisa.[2]
Krisanto alitokea Aleksandria (Misri) na kuhamia Roma kwa ajili ya masomo. Baada ya kufahamiana na padri Karpoforo, alibatizwa akaleta wengi kwa Yesu Kristo, mmojawao Daria.
Hatimaye walizikwa wakiwa hai katika dhuluma ya kaisari Numeriani.
Wanaheshimiwa na Wakatoliki, Waorthodoksi na Waorthodoksi wa Mashariki kama watakatifu.
Tazama pia hariri
Tanbihi hariri
- ↑ Martyrologium Hieronymianum
- ↑ "Sts. Chrysanthus and Daria". Catholic Encyclopedia, 1908. new advent.org. Iliwekwa mnamo 10 May 2013. Check date values in:
|accessdate=
(help) - ↑ Martyrologium Romanum
Viungo vya nje hariri
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
- Catholic Encyclopedia: Sts. Chrysanthus and Daria
- Patron Saints Index: Sts. Chrysanthus and Daria Archived 29 Novemba 2005 at the Wayback Machine.
- Holy Protection Russian Orthodox Church
- Holy Martyrs Chrysanthus and Daria in Orthodoxy Archived 4 Februari 2012 at the Wayback Machine.
- Selected Lives of Saints
- The Two Lovers of Heaven: Chrysanthus and Daria at Project Gutenberg. A drama of early Christian Rome by Pedro Calderón de la Barca, translated by Denis Florence MacCarthy.
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |