Kwango (au Cuango) ni mto wa Angola na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ambao ni pia tawimto mrefu wa mto Kasai.

Mto Kwango
Mto Kwango (Cuango)
Beseni ya Kasai
Chanzo Nyanda za juu za Bié (Angola)
Mdomo Kasai
Nchi Angola na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
Urefu 1,100 km
Kimo cha chanzo takriban 1,500 m
Mkondo ?? m³/s
Eneo la beseni ?? km²

Chanzo chake kiko nyanda za juu za Bié katika Angola kikielekea kaskazini. Inakuwa mpaka kati ya Angola na Kongo halafu kuingia ndani ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Inaishia kwenye mto Kasai karibu na mji wa Bandudu.

Tazama pia hariri

  Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Kwango kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.