Landelini
Landelini (Pas-de-Calais, 625 hivi - Crespin, Hainault, leo nchini Ufaransa, 686 hivi) alikuwa kwanza jambazi kutoka familia tajiri.
Baada ya kuongoka kwa msaada wa Autberi, akawa mmonaki, halafu abati wa monasteri alizoanzisha chini ya kanuni ngumu ya Kolumbani[1] [2][3].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu[4].
Tazama pia hariri
Tanbihi hariri
Marejeo hariri
- (Kijerumani) Schützenbruderschaft de saint Landelin à Boke
- (Kifaransa) La fontaine de saint Landelin à Crespin
- (Kifaransa) Photos des reliques entreposées à Crespin
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |