Lazio ni mkoa wa Italia. Uko katikati, upande wa magharibi.

Sehemu ya mkoa wa Lazio
Bendera ya Lazio
Mahali pa Lazio katika Italia.

Ni mkoa wa pili kwa wingi wa wakazi na kwa uchumi baada ya Lombardia.

Mji mkuu wake ni Roma, ambao ni pia mji mkuu wa taifa na mji mkubwa kuliko yote nchini.

Tazama pia hariri

Viungo vya nje hariri


 
Mikoa ya Italia
 
Mikoa ya kawaida
Abruzzo | Basilicata | Calabria | Campania | Emilia-Romagna | Lazio | Liguria | Lombardia | Marche | Molise | Piemonte | Puglia (Apulia) | Toscana | Umbria | Veneto |
Mikoa yenye katiba ya pekee
Friuli-Venezia Giulia | Sardinia | Sisilia | Trentino-Alto Adige | Valle d'Aosta
  Makala hii kuhusu maeneo ya Italia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Lazio kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.