Leeds ni mji katika kaskazini ya Uingereza na mji mkubwa wa tatu nchini mwenye wakazi 458,000 mjini penyewe ambao pamoja na rundiko la "Metropolitan Borough City of Leeds" wanafikia 700,000.

Jiji la Leeds
Jiji la Leeds is located in Uingereza
Jiji la Leeds
Jiji la Leeds

Mahali pa mji wa Leeds katika Uingereza

Majiranukta: 53°47′59″N 1°32′57″W / 53.79972°N 1.54917°W / 53.79972; -1.54917
Nchi Uingereza
Mkoa Yorkshire na Humber
Wilaya West Yorkshire
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 761,100
Tovuti:  www.leeds.gov.uk
Jumba la manisipaa ya Leeds
Briggate, Leeds

Leeds ilikua kuwa mji mkubwa wakati wa mapinduzi ya viwandani kama kitovu cha viwanda vya vitambaa na nguo. Siku hizi biashara kama benki na huduma za kila aina zimechukua nafasi ya kwanza.

Leeds imejulikana pia kutokana na Chuo Kikuu chake kilichoundwa mwaka 1904. Wanafunzi wengi kutoka Afrika walichukua masomo ya juu hapa wanaojulikana zaidi ni waandishi Wole Soyinka kutoka Nigeria na Ngũgĩ wa Thiong'o wa Kenya.

Timu ya soka ya Leeds United imekuwa kati ya klabu muhimu za uingereza kwa miaka mingi.

Picha hariri

External links hariri

 
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
  Makala hii kuhusu maeneo ya Uingereza bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Leeds kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.