Lugha ya kigeni ni lugha yoyote ambayo haipatikani katika mazingira ya mtoto, hivi kwamba hawezi kujifunza bila kufundishwa. Au ni lugha tofauti na ile ya nchi yake asili.

Ubao wa Chuo kikuu cha Harvard ambamo wanafunzi wamejitahidi kujifunza alama za pekee za Kihispania.

Lugha zinazosomwa zaidi namna hiyo duniani ni Kiingereza, Kifaransa na Kichina.

Marejeo hariri

  • Bailey, David. "The Secret to Learning a Foreign Language as an Adult. " Time. Time, 2 Oct. 2014. Web.
  • Crystal, D. (2003), A Dictionary of Linguistics and Phonetics, 5th edition, London: Blackwell.
  • Falk, J.S. (1978), Linguistics and Language, USA: John Wiley & Sons.
  • Fasold, R.W. and Connor-Linton J. (2006), An Introduction to Language and Linguistics, Cambridge: Cambridge University Press.
  • Hudson, G. (2000), Essential Introductory Linguistics, London: Blackwell.
  • Merritt, Anne. "Are Children Really Better at Foreign Language Learning?" The Telegraph. Telegraph Media Group, 18 Sept. 2013. Web.
  • Richards, J.C. and Schmidt R. (2002), Longman Dictionary of Language Teaching and Applied Linguistics, 3rd edition, London: Longman.
  • Service, Elisabet, et al. "Adults' And 8-Year-Olds' Learning In A Foreign Word Repetition Task: Similar And Different."Language Learning 64.2 (2014): 215-246. Communication & Mass Media Complete. Web.
  • Steinberg, D. D. (1991), Psycholinguistics: Language, Mind and World, London: Longman.
  • Stern, H.H. (1983), Fundamental Concepts of Language Teaching. Oxford: Oxford University Press.
  Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Lugha ya kigeni kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.