MS-DOS ni mfumo wa uendeshaji wa kompyuta wa Microsoft Corporation. Ni kifupisho cha "Microsoft disk operating system".

Nembo ya MS-DOS
Nembo ya MS-DOS

Ilikuwa imetumiwa kwa kawaida kwenye kompyuta kabla ya mfumo wa uendeshaji unaoitwa Microsoft Windows: ulikuwepo na bado una upo katika maeneo fulani, haujatoweka.

OS/2 ulitengenezwa awali kwa makubaliano ya makampuni ambayo huitwa Microsoft na IBM. OS/2 ilihifadhiwa na IBM hadi 2006. OS/2 ilitakiwa kuchukua nafasi ya MS-DOS, lakini uingizaji huo haukufanikiwa.

MS-DOS ulikuwa mfumo wa uendeshaji wa Windows na kuendelea kutoa matoleo mapya mpaka mfumo wa kisasa wa Windows XP.

Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.