Magdeburg ni mji mkuu wa Saksonia-Anhalt nchini Ujerumani. Iko kando ya mto Elbe. Idadi ya wakazi wake ni takriban 230,000.

Mji wa Magdeburg


Magdeburg
Magdeburg is located in Ujerumani
Magdeburg
Magdeburg

Mahali pa mji wa Magdeburg katika Ujerumani

Majiranukta: 52°8′0″N 11°37′0″E / 52.13333°N 11.61667°E / 52.13333; 11.61667
Nchi Ujerumani
Jimbo Saksonia-Anhalt
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 230.000
Tovuti:  www.magdeburg.de

Tazama pia hariri

 
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
  Makala hii kuhusu maeneo ya Ujerumani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Magdeburg kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.