Magogoni
Kwa maana nyingine, tazama: Magogoni (Mombasa)
Kata ya Magogoni | |
Nchi | Tanzania |
---|---|
Mkoa | Mjini Magharibi Unguja |
Wilaya | Unguja Magharibi B |
Idadi ya wakazi | |
- Wakazi kwa ujumla | 13,170 |
Magogoni ni kata ya Wilaya ya Unguja Magharibi B katika Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja, Tanzania.
Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ina wakazi wapatao 13.170 waishio humo. [1]
Wakazi wengi ni wa kutoka Tanzania bara, na wengi wao ni kutoka mkoa wa Mtwara.
Tanbihi hariri
- ↑ http://www.meac.go.tz/sites/default/files/Statistics/Tanzania%20Population%20Census%202012.pdf Archived 2 Januari 2004 at the Wayback Machine. Wilaya ya Magharibi Unguja - Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja
Kata za Wilaya ya Unguja Magharibi B - Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja - Tanzania | ||
---|---|---|
Bweleo | Chukwani | Chunga | Dimani | Fumba | Fuoni Kipungani | Fuoni Migombani | Jitimai | Kibondeni | Kiembesamaki | Kijitoupele | Kinuni | Kisauni | Kombeni | Kwa Mchina | Magogoni | Mambosasa | Maungani | Mbweni | Melinne | Michungwani | Mikarafuuni | Mnarani | Mombasa | Muembe Majogoo | Mwanakwerekwe | Nyamanzi | Pangawe | Shakani | Sokoni | Taveta | Tomondo | Uwandani | Uzi |
Makala hii kuhusu maeneo ya Unguja bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Magogoni kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. Tafadhali usiingize majina ya maafisa au viongozi wa sasa maana wanabadilika mno. |