Majengo ni jina la mitaa mbalimbali katika miji ya Afrika ya Mashariki.

Kihistoria ilikuwa jina la makazi ya wafanyakazi Waafrika katika miji ya kikoloni. Ni kwamba Waingereza katika miji iliyoundwa nao katika Afrika ya Mashariki walifuata mpangilio uliokuwa na sehemu tatu[1]:

Katika miji mikubwa zaidi kulikuwa pia na sehemu ya pekee kwa wafanyakazi Wahindi wa matabaka ya chini[5]

Kata zinazoitwa "Majengo" zinapatikana katika wilaya za Tanzania kama ifuatavyo

Pia kuna mitaa kama vile

Huko Kenya kuna

Marejeo hariri

  1. Kuhusu mpangilio wa miji katika Afrika ya Mashariki wakati wa ukoloni tazama Robert Home, Colonial Urban Planning in Anglophone Africa, uk. 60, ktk Carlos Nunes Silva (Ed.) (2015). Urban Planning in Sub-Saharan Africa: Colonial and Postcolonial Planning Cultures. New York, ISBN: 9780415632294
  2. "European residential"
  3. "Asiatic residential", katika miji midogo pamoja na "Commercial areas for Asiatics"
  4. "Native locations"
  5. "Locations for Asiatics of the working class"
 
Ukurasa huu una maelezo ya maana ili kutofautisha nia mbalimbali zinazolengwa na neno moja. Kwa usaidizi kuhusu makala za aina hii tazama Msaada:Maana

Maelezo katika ukurasa huu yawe mafupi, na kwa kila maana kuwe na kiungo kimoja tu ambacho kiunge ukurasa kuhusu nia yenye maana hii. Ukiwa umefika hapa kwa kutumia kiungo katika makala nyingine, tafadhali badalisha kiungo kile kiunge makala iliyokusudiwa moja kwa moja.