Mamalia wa majini ni mamalia ambao wanaishi na kupata riziki zao (zote au sehemu) majini, ama baharini ama katika maziwa, mito. Ni wanyama wa spishi mbalimbali (129) jamii ya mamalia ambazo hazihusiani kwa asili, ila zimefuata njia zinazofanana kidogo katika kuzoea kwa kiasi tofauti mazingira hayo badala ya kuendelea kuishi katika nchi kavu[1][2].

Pomboo wa mto Amazonas (Inia geoffrensis).

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  1. Kaschner, K.; Tittensor, D. P.; Ready, J.; Gerrodette, T.; Worm, B. (2011). "Current and Future Patterns of Global Marine Mammal Biodiversity". PLoS ONE 6 (5): e19653. Bibcode:2011PLoSO...619653K. PMC 3100303. PMID 21625431. doi:10.1371/journal.pone.0019653. 
  2. Pompa, S.; Ehrlich, P. R.; Ceballos, G. (2011-08-16). "Global distribution and conservation of marine mammals". Proceedings of the National Academy of Sciences 108 (33): 13600–13605. Bibcode:2011PNAS..10813600P. PMC 3158205. PMID 21808012. doi:10.1073/pnas.1101525108. 

Marejeo hariri

  • Perrin, W. F.; Wursig, B.; Thewissen, J. G. M. (2009). [[[:Kigezo:Google books]] Encyclopedia of Marine Mammals] (2nd ed.). San Diego: Academic Press. ISBN 978-0-0809-1993-5. OCLC 316226747. 
  Makala hii kuhusu mambo ya biolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mamalia wa majini kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.