Mamerto (alifariki Vienne, leo nchini Ufaransa, 475 hivi) alikuwa askofu wa mji huo[1] kuanzia mwaka 462 hivi.

Mt. Mamerto akiongoza maandamano ya sala yaliyompatia umaarufu.

Katika kukabiliana na maafa ya kijamii, alianzisha siku tatu za kusali kwa fahari litania ili kujiandaa kwa sherehe ya Kupaa Bwana.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 11 Mei[2].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Viungo vya nje hariri

 
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.