Maneno saba katika Ukristo ni yale ambayo Yesu aliyatamka akiwa msalabani na yamerekodiwa katika Injili nne.[1][2]

Alichokuwa anaona Yesu msalabani, mchoro wa James Tissot, 1890 hivi.
Mfululizo wa kurasa juu ya Yesu
Jesus
Yesu Kristo na Ukristo

Umwilisho  • Utoto wa Yesu  • Ubatizo
Arusi ya Kana • Utume wa Yesu • Mifano ya Yesu  • Miujiza ya Yesu
Kugeuka sura • Karamu ya mwisho • Msalaba wa Yesu  • Maneno saba
Kifo cha Yesu  • Ufufuko wa Yesu
Kupaa mbinguni  • Ujio wa pili
Injili  • Majina ya Yesu katika Agano Jipya  • Yesu kadiri ya historia  • Tarehe za maisha ya Yesu • Kristolojia

Mazingira ya Yesu

Wayahudi • Kiaramu • Bikira Maria • Yosefu (mume wa Maria) • Familia takatifu • Ukoo wa Yesu • Ndugu wa Yesu • Yohane Mbatizaji

Mitazamo juu ya Yesu

Mitazamo katika Agano Jipya · Mitazamo ya Kikristo • Mitazamo ya Kiyahudi • Mitazamo ya Kiislamu • Yesu katika sanaa

Kati yake, matatu yanapatikana katika Injili ya Luka tu, mawili katika Injili ya Yohane tu. Lingine linapatikana katika Injili ya Mathayo na Injili ya Marko vilevile. Lingine tena limerekodiwa na Yohane lakini Mathayo na Marko wamelidokeza.[3]

Katika Mathayo na Marko, Yesu Kristo anamlilia Mungu. Katika Luka, yeye anawasamehe wauaji wake, anamfariki mhalifu aliyetubu, na kumkabidhi Baba roho yake. Katika Yohane, Yesu anasema na mama yake na mwanafunzi mpendwa, anatokeza kiu yake, na kutangaza utimilifu wa kazi na maisha yake yote kadiri ya mpango wa Mungu[4].

Maneno ya buriani ya mtu yeyote yanatiwa maanani sana. Yanaweza kusaidia kuelewa nini ilikuwa muhimu kwake. Ilikuwa hivyo hasa kwa Yesu[5] aliyeweza kusema machache tu kutokana na hali yake.[6]

Tangu karne ya 16 maneno hayo yametumika sana katika mahubiri ya madhehebu mbalimbali siku ya Ijumaa kuu[7][8], na vitabu vingi vimetungwa kuyafafanua.[9][10]

Watunzi mbalimbali waliyatia katika muziki.

Mpangilio wa kawaida ni huu:[11]

  1. Lk 23:34
  2. Lk 23:43
  3. Yoh 19:26–27
  4. Math 27:46 na Mk 15:34
  5. Yoh 19:28
  6. Yoh 19:30
  7. Lk 23:46

Tanbihi hariri

  1. Geoffrey W. Bromiley, International Standard Bible Encyclopedia, Eerdmans Press 1995, ISBN 0-8028-3784-0 p. 426
  2. Joseph F. Kelly, An Introduction to the New Testament for Catholics Liturgical Press, 2006 ISBN 978-0-8146-5216-9 p. 153
  3. Jesus: the complete guide by Leslie Houlden 2006 ISBN 0-8264-8011-X p. 627
  4. Ehrman, Bart D.. Jesus, Interrupted, HarperCollins, 2009. ISBN 0-06-117393-2
  5. Hamilton, Adam. 24 Hours That Changed the World. Abingdon Press, 2009. ISBN 978-0-687-46555-2
  6. Wilson, Ralph F. "The Seven Last Words of Christ from the Cross".<http://www.jesuswalk.com/7-last-words/>
  7. Richard Young (Feb 25, 2005). Echoes from Calvary: meditations on Franz Joseph Haydn's The seven last words of Christ, Volume 1. Rowman & Littlefield. ISBN 978-0742543843. Iliwekwa mnamo 1 April 2012. Interestingly, the Methodist Book of Worship adopted by the General Conference of 1964 presented two services for Good Friday: a Three Hours' Service for the afternoon and a Good Friday evening service that includes the "Adoration at the Cross" (the Gospel, Deprecations, and Adoration of the Cross) but omits a communion service, which would be the Methodist equivalent of the Mass of the Presanctified.  Check date values in: |accessdate= (help)
  8. The Encyclopædia Americana: a library of universal knowledge, Volume 13. Encyclopedia Americana. 1919. Iliwekwa mnamo 1 April 2012. The 'Three Hours' Devotion, borrowed from Roman usage, with meditation on the 'seven last words' from the Cross, and held from 12 till 3, when our Lord hung on the Cross, is a service of Good Friday that meets with increasing acceptance among the Anglicans.  Check date values in: |accessdate= (help)
  9. Jesus of Nazareth by W. Mccrocklin 2006 ISBN 1-59781-863-1 p. 134
  10. The Seven Last Words From The Cross by Fleming Rutledge 2004 ISBN 0-8028-2786-1 pp. 8–10
  11. Jan Majernik, The Synoptics, Emmaus Road Press: 2005 ISBN 1-931018-31-6, p. 190

Marejeo hariri

  • The Reader's Encyclopedia, Second Edition 1965, publisher Thomas Y. Crowell Co., New York, editions 1948, 1955, pp. 917–18

Viungo vya nje hariri

  Makala hii kuhusu mambo ya Biblia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Maneno saba kama historia yake au athari wake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.