Marajó ni kisiwa kikubwa katika Delta ya mto Amazonas nchini Brazil. Kipo kwenye msatri wa ikweta.

Faili:Ilha do Marajo by liliamsf.jpg
Mapwa wa mvuvi kisiwani Marajo

Eneo lake ni kati ya 40,000 hadi 49,000 km² kutegeana na kiasi cha maji mtoni na kiasi cha mafuriko. Eneo hili ni kubwa kushinda eneo la Rwanda au Burundi.

Marajo ni kisiwa kikubwa duniani katika maji matamu.

Viungo vya nje hariri