Margareta Maria Alacoque

Margareta Maria Alacoque (L'Hautecour, Burgundy, Ufaransa, 22 Julai 1647Paray-le-Monial, 17 Oktoba 1690) alikuwa mwanamke mtawa aliyepata umaarufu kama mwanasala mwenye njozi.

Mchoro wa Corrado Giaquinto wa mwaka 1765.

Kufuatana nazo alieneza sana ibada kwa Moyo mtakatifu wa Yesu.

Alitangazwa na Papa Pius IX kuwa mwenye heri tarehe 18 Septemba 1864, halafu Papa Benedikto XV alimtangaza mtakatifu tarehe 13 Mei 1920.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 16 Oktoba [1].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Marejeo hariri

  • Gaddis, William. The Recognitions. Penguin Classics, New York, New York. 1993, pp. 66–67.

Viungo vya nje hariri

 
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.