Masalia ni mabaki ya mwili au ya vitu vya mtu anayeheshimika hasa kwa msingi wa dini.

Sanduku la kutunzia masalia, yakiwemo ya Mitume wa Yesu na watakatifu wengine.

Masalia ni muhimu hasa katika baadhi ya madhehebu ya dini, kama vile ya Uhindu, Ubuddha na Ukristo.

Katika dini hiyo ya mwisho, heshima kwa masalia ilianza na maiti ya wafiadini, na umuhimu wake ulifikia kilele chake katika Karne za Kati.

Tanbihi hariri

Marejeo hariri

  • Relics, by Joan Carroll Cruz, OCDS, Our Sunday Visitor, Inc, 1984. ISBN 0-87973-701-8
  • Reliques et sainteté dans l'espace médiéval
  • Brown, Peter; Cult of the Saints: Its Rise and Function in Latin Christianity; University of Chicago Press; 1982
  • Vauchez, Andre; Sainthood in the Later Middle Ages; Cambridge University Press; 1997
  • Mayr, Markus; Geld, Macht und Reliquien; Studienverlag, Innsbruck, 2000
  • Mayr, Markus (Hg); Von goldenen Gebeinen; Studienverlag, Innsbruck, 2001

Masalia katika fasihi hariri

Viungo vya nje hariri

 
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
  Makala hii kuhusu mambo ya dini bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hii kama historia yake au uenezi wake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.