Mbagala ni kata ya Wilaya ya Temeke katika Mkoa wa Dar es Salaam, Tanzania, yenye postikodi namba 15113.

Kata ya Mbagala
Kata ya Mbagala is located in Tanzania
Kata ya Mbagala
Kata ya Mbagala

Mahali pa Mbagala katika Tanzania

Majiranukta: 6°52′8″S 39°15′40″E / 6.86889°S 39.26111°E / -6.86889; 39.26111
Nchi Tanzania
Mkoa Dar es Salaam
Wilaya Temeke
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 46,217

Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi walihesabiwa 46,217 [1]. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 52,582 waishio humo.[2]

Inasemekana kata hii ni chafu, ndiyo maana inaongoza kwa milipuko ya magonjwa, na pia kuna miundombinu mibovu na msongamano wa nyumba, watu wengi kuwa na shule ndogo na hizo shule kukosa vifaa na walimu: hizo ndizo shida kubwa zinazosumbua Mbagala. Lakini hakuna shida ya maji kama kata nyingine za jiji.

Marejeo hariri

  Kata za Wilaya ya Temeke - Tanzania  

Azimio | Buza | Chamazi | Chango'mbe | Charambe | Keko | Kibondemaji | Kiburugwa | Kijichi | Kilakala | Kilungule | Kurasini | Makangarawe | Mbagala | Mbagala Kuu | Mianzini | Miburani | Mtoni | Sandali | Tandika | Temeke | Toangoma | Yombo Vituka