Melito wa Sardi (kwa Kigiriki Μελίτων Σάρδεων, Melíton Sárdeon) (alifariki mwaka 180) alikuwa askofu wa mji huo karibu na Smirna katika rasi ya Anatolia (leo nchini Uturuki).

Pamoja na kwamba maisha yake hayajulikani vizuri, katika Ukristo wa zamani aliheshimiwa sana: Jeromu, akizungumzia Agano la Kale lilivyokubaliwa na Melito kuwa Neno la Mungu, aliripoti maneno ya Tertullian kwamba waamini wengi wa Afrika Kaskazini walimhesabu kama nabii.

Hata katika karne za kati jina lake liliendelea kutumika katika uandishi wa vitabu ili vithaminiwe zaidi.

Leo anaheshimiwa na Kanisa Katoliki, Waorthodoksi na Waorthodoksi wa Mashariki kama mtakatifu.

Sikukuu yake inaadhimishwa hasa tarehe 1 Aprili, lakini pia 31 Agosti[1].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Marejeo hariri

  • Hansen, Adolf, and Melito. 1990. The "Sitz im Leben" of the paschal homily of Melito of Sardis with special reference to the paschal festival in early Christianity. Thesis (Ph. D.)--Northwestern University, 1968.
  • Melito, and Bernhard Lohse. 1958. Die Passa-Homilie des Bischofs Meliton von Sardes. Textus minores, 24. Leiden: E.J. Brill.[1]
  • Melito, J. B. Pitra, and Pier Giorgio Di Domenico. 2001. Clavis Scripturae. Visibile parlare, 4. Città del Vaticano: Libreria editrice vaticana. [2]
  • Melito, J. B. Pitra, and Jean Pierre Laurant. 1988. Symbolisme et Ecriture: le cardinal Pitra et la "Clef" de Méliton de Sardes. Paris: Editions du Cerf. [3]
  • Melito, and Josef Blank. 1963. Vom Passa: die älteste christliche Osterpredigt. Sophia, Quellen östlicher Theologie, Bd. 3. Freiburg im Breisgau: Lambertus-Verlag. [4]
  • Melito, and Othmar Perler. 1966. Sur la Pâque et fragments. Sources Chrétiennes, 123. Paris: Éditions du Cerf. [5]
  • Melito, and Richard C. White. 1976. Sermon "On the Passover.". Lexington Theological Seminary Library. Occasional studies. Lexington, Ky: Lexington Theological Seminary Library. [6]
  • Melito, and Stuart George Hall. 1979. On Pascha and fragments. Oxford early Christian texts. Oxford: Clarendon Press. [7]
  • Waal, C. van der, and Melito. 1973. Het Pascha der verlossing: de schriftverklaring in de homilie van Melito als weerspiegeling van de confrontatie tussen kerk en synagoge. Thesis—Universiteit van Suid-Afrika. [8]
  • Waal, C. van der, and Melito. 1979. Het Pascha van onze verlossing: de Schriftverklaring in de paaspreek van Melito van Sardes als weerspiegeling van de confrontatie tussen kerk en synagoge in de tweede eeuw. Johannesburg: De Jong.

Viungo vya nje hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.