Mfumo wa uendeshaji

Katika utarakilishi, mfumo wa uendeshaji (kifupi: MU; kwa Kiingereza : "Operating system") ni programu ya mfumo unaodhibiti vifaa, programu tete, rasilimali ya tarakilishi na unaotoa huduma kwa programu ya tarakilishi.

Ubuntu 19.04 ulio mfumo wa uendeshaji.

Kwa mfano, Ubuntu, Windows, Mac OS au Linux ni mifumo ya uendeshaji.

Marejeo hariri

  • Petzell, M. (2005). Expanding the Swahili vocabulary. Africa & Asia, 5, 85-107.
  Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.