Mfungo wa Krismasi

Mfungo wa Krismasi ni siku za toba zinazozingatiwa na Kanisa la Mashariki katika kuandaa sherehe ya Krismasi.[1]

Mama wa Mungu kuingia hekaluni, sikukuu inayoangukia kati ya mfungo wa Krismasi (picha ya Kirusi ya karne ya 16.
Mwaka wa liturujia
Magharibi
Mashariki

Unafanana na Majilio katika Kanisa la Magharibi, isipokuwa unachukua siku 40 na kukazia utukufu wa umwilisho wa Mwana wa Mungu.

Mfungo unaanzia tarehe 15 Novemba na kuendelea hadi tarehe 24 Desemba.

Makala hii kuhusu dini ya Ukristo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mfungo wa Krismasi kama historia yake, matokeo au athari zake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Tanbihi hariri

  1. 25 Desemba on the traditional Julian Calendar (O.S.) falls on 7 Januari of the modern Gregorian Calendar (N.S.). All dates in this article refer to the dates as they are written in the Menaion. For those churches which follow the Julian Calendar, the date on the Gregorian Calendar will be 13 days later (25 Desemba Julian = 7 Januari Gregorian). For those churches following the Revised Julian Calendar, the services will be celebrated on the date given here, according to the calculation of the Gregorian Calendar.

Viungo vya nje hariri

 
Wikimedia Commons ina media kuhusu: