Kwa maana mengine ya jina hili angalia hapa mgongo (maana)

Kielezo cha mgongo wa binadamu.

Mgongo ni upande wa nyuma wa mwili wa binadamu na wanyama kuanzia kiungio cha shingo na mabega hadi kiunoni.

Makala hii kuhusu mambo ya anatomia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mgongo kama matumizi yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.