Mikoa ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

mgawanyiko wa kwanza wa kiutawala wa DR Congo

Hii ni orodha ya Mikoa ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo:

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

Makala hii imepangwa kwa mfululizo:
Siasa na serikali ya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo



Nchi zingine · Atlasi

Mikoa mipya hariri

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ina mikoa ishirini na sita kadiri ya Katiba mpya ya mwaka 2005.

 
Mikoa 25 na mji mkuu Kinshasa.


Mkoa Mji Mkuu
1. Kinshasa Kinshasa
2. Kongo Kati   Matadi
3. Kwango Kenge
4. Kwilu Kikwit
5. Mai-Ndombe Inongo
6. Kasaï Luebo
7. Lulua Kananga
8. Kasaï Mashariki Mbuji-Mayi
9. Lomami Kabinda
10. Sankuru Lodja
11. Maniema Kindu
12. Kivu Kusini Bukavu
13. Kivu Kaskazini Goma
Mkoa Mji Mkuu
14. Ituri Bunia
15. Wele Juu Isiro
16. Tshopo Kisangani
17. Wele Chini Buta
18. Ubangi Kaskazini Gbadolite
19. Mongala Lisala
20. Ubangi Kusini Gemena
21. Équateur Mbandaka
22. Tshuapa Boende
23. Tanganyika Kalemie
24. Lomami Juu Kamina
25. Lualaba Kolwezi
26. Katanga Juu    Lubumbashi

Mikoa kabla ya 2008 hariri

  1. Bandundu
  2. Bas-Congo
  3. Équateur
  4. Kasaï Magharibi
  5. Kasaï Mashariki
  6. Katanga
  7. Kinshasa
  8. Maniema
  9. Kivu Kaskazini
  10. Orientale
  11. Kivu Kusini
 


Angalia pia hariri


 
Mikoa ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
 
Équateur | Ituri | Kasaï | Kasaï Mashariki | Katanga Juu | Kinshasa | Kivu Kaskazini | Kivu Kusini | Kongo Kati | Kwango | Kwilu | Lomami | Lomami Juu | Lualaba | Lulua | Mai-Ndombe | Maniema | Mongala | Sankuru | Tanganyika | Tshopo | Tshuapa | Ubangi Kaskazini | Ubangi Kusini | Wele Chini | Wele Juu
+/-