Mily Alexanyevich Balakirev (alizaliwa mjini Nizhny-Novgorod tarehe 2 Januari 1837 - akafariki St. Petersburg tarehe 29 Mei 1910) alikuwa mtunzi kutoka nchini Urusi aliye maarufu kwa Opera. Mara nyingi alikuwa akitunga nyimbo kwa ajili ya orchestra, kwaya na piano na nyimbo pekee. Vilevile anasifika kwa kutunga nyimbo nyingi zenye kusifia utaifa wa Urusi.

Mily Balakirev.

Viungo vya nje hariri



 
WikiMedia Commons


  Makala hii kuhusu mwanamuziki fulani wa Ulaya bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mily Balakirev kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.


Orodha ya Wanamuziki wa kipindi cha Romatiki
Alkan Balakirev Beethoven Bellini Berlioz Berwald Bizet Borodin Brahms Bruckner Chopin Cui Dvořák Elgar Field Franck Glinka Grieg Liszt Mahler Mendelssohn Mussorgsky Rachmaninoff Rimsky-Korsakov Saint-Saëns Schubert Schumann Smetana Strauss Tchaikovsky Verdi Wagner Wolf Weber