Minnesota ni kati ya majimbo ya kujitawala ya Maungano ya Madola ya Amerika au Marekani. Mji mkuu wa jimbo ni Saint Paul na mukubwa jimboni ni Minneapolis. Iko katikati ya Marekani bara ikipakana na Kanada (Manitoba) na Ontario), Wisconsin, Iowa, South Dakota, na North Dakota. Upande wa maawio kuna la ziwa Superior. Idadi ya wakazi wa jimbo lote hufikia watu 5,220,939 (2008) wanaokalia eneo la 225,365 km² ambalo ni hasa milima na jangwa.

Sehemu ya Jimbo la Minnesota








Minnesota

Bendera

Nembo
Nchi Bendera ya Marekani Marekani
Mji mkuu St. Paul
Eneo
 - Jumla 225,171 km²
 - Kavu 206,189 km² 
 - Maji 18,981 km² 
Tovuti:  http://www.state.mn.us/

Viungo vya Nje hariri

 
Wikimedia Commons ina media kuhusu:


Majimbo ya Marekani

AlabamaAlaskaArizonaArkansasCaliforniaColoradoConnecticutDelawareFloridaGeorgiaHawaiiIdahoIllinoisIndianaIowaKansasKentuckyLouisianaMaineMarylandMassachusettsMichiganMinnesotaMississippiMissouriMontanaNebraskaNevadaNew HampshireNew JerseyNew MexicoNew YorkNorth CarolinaNorth DakotaOhioOklahomaOregonPennsylvaniaRhode IslandSouth CarolinaSouth DakotaTennesseeTexasUtahVermontVirginiaWashingtonWest VirginiaWisconsinWyoming

  Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Minnesota kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.