Mkarakara
(Passiflora spp.)
Mkarakara-jeusi
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Plantae (Mimea)
(bila tabaka): Angiospermae (Mimea inayotoa maua)
(bila tabaka): Eudicots (Mimea ambayo mche wao una majani mawili)
(bila tabaka): Rosids (Mimea kama mwaridi)
Oda: Malpighiales (Mimea kama mwenda-usiku
Familia: Passifloraceae (Mimea iliyo mnasaba na mkarakara)
Jenasi: Passiflora
L.
Ngazi za chini

Spishi >500; 4 zinakuzwa katika Afrika ya Mashariki:

Mikarakara au mipesheni ni mimea mitambazi ya jenasi Passiflora katika familia Passifloraceae. Matunda yake huitwa makarakara au mapesheni. Kuna takribani spishi 550.

Asili ya mimea hiyo ni Amerika, ya Kati na ya Kusini hasa. Siku hizi spishi kadhaa hukuzwa sana katika ukanda wa tropiki, na katika Afrika ya Mashariki mkarakara-jeusi na mkarakara-tamu na mkarakara-njano inajulikana sana tangu mwanzo mwa karne ya 21.

Spishi zinazokuzwa katika Afrika ya Mashariki hariri

Picha hariri

Marejeo hariri

  Makala hii kuhusu mmea fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkarakara kama uainishaji wake wa kibiolojia, uenezi au matumizi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.