Mkoa wa Erongo ni mmoja kati ya mikoa 13 ya kujitawala ya Namibia wenye wakazi 107,629 kwenye eneo la km² 63,720.

Mahali pa Erongo katika Namibia.

Mji mkuu ni Swakopmund.

Jiografia hariri

Miji mikubwa ni pamoja na Walvis Bay na Swakopmund.

Swakop na Kuiseb ni mito muhimu zaidi.

Picha hariri

Tovuti za Nje hariri

 
Wikimedia Commons ina media kuhusu:


 
Mikoa ya Namibia
 
Caprivi | Erongo | Hardap | Karas | Kavango | Khomas | Kunene | Ohangwena | Omaheke | Omusati | Oshana | Oshikoto | Otjozondjupa
  Makala hii kuhusu maeneo ya Namibia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Mkoa wa Erongo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.