Mkoa wa Kati (Uganda)

Mkoa wa Kati (kwa Kiingereza: Central Region) ni kati ya mikoa minne ya Uganda na eneo lake ni sawa na Ufalme wa Buganda.

Ramani.

Kwa sasa unaundwa na wilaya 24[1].

Makao makuu yako Kampala.

Wakazi ni 9,529,227.

Wilaya hariri

 
Wilaya za Uganda; mkoa wa Kati una rangi nyekundu.
Wilaya Wakazi
(Sensa 1991)
Wakazi
(Sensa 2002)
Wakazi
(Sensa 2014)
Ramani Makao makuu
Buikwe 250,511 329,858 422,771 82 Buikwe
Bukomansimbi 126,549 139,556 151,413 84 Bukomansimbi
Butambala 74,062 86,755 100,840 86 Gombe
Buvuma 18,482 42,483 89,890 87 Kitamilo
Gomba 119,550 133,264 159,922 89 Kanoni
Kalangala 16,371 34,766 54,293 27 Kalangala
Kalungu 152,028 160,684 183,232 90 Kalungu
Kampala 774,241 1,189,142 1,507,080 29 Kampala
Kayunga 236,177 294,613 368,062 36 Kayunga
Kiboga 98,153 108,897 148,218 38 Kiboga
Kyankwanzi 43,454 120,575 214,693 95 Kyankwanzi
Luweero 255,390 341,317 456,958 48 Luweero
Lwengo 212,554 242,252 274,953 99 Lwengo
Lyantonde 53,100 66,039 93,753 100 Lyantonde
Masaka 203,566 228,170 297,004 51 Masaka
Mityana 223,527 266,108 328,964 56 Mityana
Mpigi 157,368 187,771 250,548 59 Mpigi
Mubende 277,449 423,422 684,337 60 Mubende
Mukono 319,434 423,052 596,804 61 Mukono
Nakaseke 93,804 137,278 197,369 63 Nakaseke
Nakasongola 100,497 127,064 181,799 64 Nakasongola
Rakai 330,401 404,326 516,309 70 Rakai
Sembabule 144,039 180,045 252,597 72 Sembabule
Wakiso 562,887 907,988 1,997,418 76 Wakiso

Tanbihi hariri

  1. "Uganda: Administrative Division". citypopulation.de. Iliwekwa mnamo 5 November 2016.  Check date values in: |accessdate= (help)