Mkoa wa Lagunes
Mkoa wa Lagunes (kwa Kifaransa: Région des Lagunes) ni moja kati ya mikoa 19 ya huko nchini Cote d'Ivoire, kabla ya 2011.
Iko katika Kusini ya nchi. Mwaka 1998 idadi ya wakazi ilikuwa watu 3.733.362. [1]
Mkoa wa Lagunes |
|
Mahali pa Mkoa wa Lagunes katika Cote d'Ivoire | |
Majiranukta: 5°25′N 4°20′W / 5.417°N 4.333°W | |
Nchi | Côte d'Ivoire |
---|---|
Wilaya | 7 |
Mji mkuu | Abidjan |
Eneo | |
- Jumla | 12.949 km² |
Idadi ya wakazi (1998) | |
- Wakazi kwa ujumla | 3.733.362 |
GMT | (UTC+0) |
Kuna tarafa saba ambazo ni
Makao makuu yako Abidjan.
Marejeo hariri
Makala hii kuhusu maeneo ya Cote d'Ivoire bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Mkoa wa Lagunes kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |