Mkoa wa Woleu-Ntem

Woleu-Ntem ni moja kati ya mikoa tisa ya nchini Gabon. Mkoa unachukua eneo la kilomita za mraba zipatazo 38,465. Mji mkuu wa mkoa huu ni Oyem.

Woleu-Ntem Province
Woleu-Ntem Province

Ukiwa Woleu-Ntem ni mkoa uliopo kaskazini sana mwa nchi ya Gabon, ni mkoa pekee uliopakana na Cameroon, vilevile umepakana na Jamhuri kadhaa kama vile Guinea ya Ikweta na kongo. Mkoa umepakana na maeneo ya nchi hizi:

Domestically, it borders the following provinces:

Departments hariri

 
Departments za Woleu-Ntem

Woleu-Ntem imegawanyika katika departments 5:

Coordinates: 1°17′26″N 11°50′08″E / 1.29043°N 11.8355°E / 1.29043; 11.8355