Monte Fumaiolo ni mlima wa Apenini katika nchi ya Italia (Ulaya Kusini). Unajulikana hasa kwa chanzo cha mto Tiber kilichotoka mlimani.

Chanzo cha mto Tiber katika mlima wa Monte Fumaiolo

Urefu wake ni mita 1,407 juu ya usawa wa bahari.

Tazama pia hariri