Morihei Ueshiba (14 Desemba 188326 Aprili 1969) [1] anajulikana zaidi kama mgunduzi wa mchezo wa mapigano wa kujihami wa Aikido [2] uliokuwa ukijulikana mwanzo kama Aikibudo ama Aikinomichi

Morihei Ueshiba mwaka 1938.

Alizaliwa katika kijiji cha Nishinotani nchini Japani akiwa ni mtoto pekee wa kiume katika familia ya watoto wanne ya Yoroku Ueshiba.

Tanbihi hariri

  1. "Aikido History". aikidohistory.com. Iliwekwa mnamo 2020-02-26. 
  2. "Aikido". Meikyokai Aikido (kwa en-US). Iliwekwa mnamo 2020-02-26.