Mto Achwa (pia Aswa) unapatikana katika wilaya ya Nwoya, kaskazini mwa Uganda. Unaanza nchini Uganda na kuingia katika Nile Nyeupe nchini Sudan Kusini. Hivyo maji yake yanaishia katika Bahari ya Kati.

Mito na maziwa ya Uganda.

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Viungo vya nje hariri

  Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Mto Achwa kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.