Mto Yser
Mto Yser (kwa Kifaransa: kwa Kiholanzi: IJzer) ni mto ambao una chanzokaskazini mwa Ufaransa. Unaingia Ubelgiji na hutiririka katika Bahari ya Kaskazini katika mji Nieuwpoort.
Chanzo | Nord |
Mdomo | North Sea 51°9′10″N 2°43′23″E / 51.15278°N 2.72306°E |
Urefu | 78 km |
Katika Ufaransa hariri
Chanzo cha mto Yser ni Buysscheure, katika Nord département kaskazini mwa Ufaransa. Kisha unapitia Bollezeele, Esquelbecq, Bambecque na takriban 30 ya kilomita 78 zake hupitia Ufaransa kabla ya kuvuka mpaka katika Houtkerque.
Nchini Ubelgiji hariri
Katika Ubelgiji Yser hupitia Diksmuide, na nje ya Bahari katika Kaskazini katika Nieuwpoort. Wakati wa vita vya Yser katika Vita Kuu vya Kwanza vya Dunia mto huu ulikuwa na mafuriko makusudi kutoka Nieuwpoort hadi Diksmuide ili kutoa kikwazo kwa jeshi la kijerumani.
Matawimito hariri
- Peene Becque, katika kaskazini ya Ufaransa
- Sale Becque
- Ey Becque
- Zwyne Becque
Marejeo hariri
- GéoPortail Archived 15 Desemba 2010 at the Wayback Machine. (Kifaransa)
- Yser katika kumbukumbu la Sandre
Viungo vya nje hariri
- Kifungu kuhusu Yser katika WW1 katika 'Uwanja wa Ulaya wa mapigano' Archived 19 Januari 2012 at the Wayback Machine.
- Picha ya bonde la Yser
Makala hii kuhusu maeneo ya Ulaya bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Mto Yser kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |