Mwana wa Adamu (kwa Kiebrania בן–אדם, ben-'adam, yaani binadamu; kwa Kigiriki "ὁ υἱὸς τοὺ ἀνθρώπου", ho huios tou anthropou, "mwana wa mtu") ni jina lililotumiwa na Yesu Kristo katika kujitaja ili kujitambulisha. Limeandikwa mara nyingi katika Injili, Matendo ya Mitume na Kitabu cha Ufunuo, ingawa halikuendelea kutumiwa sana na Wakristo waliopendelea jina "Mwana wa Mungu".[1][2][3]

Mwana wa Adamu akiwa na upanga kati ya vinara saba, kadiri ya Ufunuo wa Yohane; mchoro mdogo wa karne ya 11 kutoka Bamberg.

Mara 81 linapatikana katika Injili, lakini daima mdomoni mwa Yesu.[4] Inawezekana mwenyewe alilipenda kwa sababu Wayahudi walikuwa hawalitumii kwa kulipotosha kama ilivyokuwa kwa jina Masiya walilolielewa kisiasa.

Pia jina hilo liliweza kudokeza unyonge wa kibinadamu ambao Mwana aliutwaa, pamoja na utukufu wake ujao, kadiri ya kitabu cha Danieli (7:13-14).

Tanbihi hariri

  1. Jesus and the Son of Man by A J B Higgins 2002 ISBN 0-227-17221-3 pages 13-15
  2. Jesus Remembered: Christianity in the Making by James D. G. Dunn (Jul 29, 2003) ISBN 0802839312 pages 724-725
  3. The Son of Man Debate: A History and Evaluation by Delbert Royce Burkett (Jan 28, 2000) Cambridge Univ Press ISBN 0521663067 pages 3-5
  4. Lord Jesus Christ: Devotion to Jesus in Earliest Christianity by Larry W. Hurtado, ISBN 0-8028-3167-2 Wm B. Eerdmans Publishing Co., 2005 pages 290-293

Marejeo hariri

  • Borgen, Peder. Early Christianity and Hellenistic Judaism, Edinburgh: T & T Clark Publishing. 1996.
  • Brown, Raymond. An Introduction to the New Testament, New York: Doubleday. 1997.
  • Buth, Randall. "A More Complete Semitic Background for bar-enasha 'Son of Man'", in Craig A. Evans and James A. Sanders, eds. The Function of Scripture in Early Jewish and Christian Tradition (JSNT Suppl 154) Sheffield Academic Press, 1998: 176-189.
  • Dunn, J. D. G., Christology in the Making, London: SCM Press. 1989.
  • Ferguson, Everett. Backgrounds in Early Christianity. Grand Rapids: Eerdmans Publishing. 1993.
  • Fischel, Henry A. (ed.). Essays in Greco-Roman and Related Talmudic Literature, New York: KTAV Publishing House. 1977.
  • Greene, Colin J. D. Christology in Cultural Perspective: Marking Out the Horizons. Grand Rapids: InterVarsity Press. Eerdmans Publishing. 2003.
  • Holt, Bradley P. Thirsty for God: A Brief History of Christian Spirituality. Minneapolis: Fortress Press. 2005.
  • Josephus, Flavius. Complete Works. trans. and ed. by William Whiston. Grand Rapids: Kregel Publishing. 1960.
  • Letham, Robert. The Work of Christ. Downers Grove: InterVarsity Press. 1993.
  • Macleod, Donald. The Person of Christ. Downers Grove: InterVarsity Press. 1998.
  • McGrath, Alister. Historical Theology: An Introduction to the History of Christian Thought. Oxford: Blackwell Publishing. 1998.
  • Neusner, Jacob. From Politics to Piety: The Emergence of Pharisaic Judaism. Providence, R. I.: Brown University. 1973.
  • Norris, Richard A. Jr. The Christological Controversy. Philadelphia: Fortress Press. 1980.
  • O'Collins, Gerald. Christology: A Biblical, Historical, and Systematic Study of Jesus. Oxford:Oxford University Press. 2009.
  • Pelikan, Jaroslav. Development of Christian Doctrine: Some Historical Prolegomena. London: Yale University Press. 1969.
  • _______ The Emergence of the Catholic Tradition (100-600). Chicago: University of Chicago Press. 1971.
  • Schweitzer, Albert. Quest of the Historical Jesus: A Critical Study of the Progress from Reimarus to Wrede. trans. by W. Montgomery. London: A & C Black. 1931.
  • Tyson, John R. Invitation to Christian Spirituality: An Ecumenical Anthology. New York: Oxford University Press. 1999.
  • Wilson, R. Mcl. Gnosis and the New Testament. Philadelphia: Fortress Press. 1968.
  • Witherington, Ben III. The Jesus Quest: The Third Search for the Jew of Nazareth. Downers Grove: InterVarsity Press. 1995.
  • _______ “The Gospel of John.” in The Dictionary of Jesus and the Gospels. ed. by Joel Greene, Scot McKnight and I. Howard
  Makala hii kuhusu dini ya Ukristo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mwana wa Adamu kama historia yake, matokeo au athari zake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.