Mwokozi katika teolojia ya Ukristo, ni sifa mojawapo ya Yesu kutokana na imani ya kwamba ndiye aliyetekeleza wokovu wa binadamu wote.

Kristo Mkombozi alivyochorwa na Titian (1534 hivi), Palazzo Pitti, Florence, Italia.
Mfululizo wa kurasa juu ya Yesu
Jesus
Yesu Kristo na Ukristo

Umwilisho  • Utoto wa Yesu  • Ubatizo
Arusi ya Kana • Utume wa Yesu • Mifano ya Yesu  • Miujiza ya Yesu
Kugeuka sura • Karamu ya mwisho • Msalaba wa Yesu  • Maneno saba
Kifo cha Yesu  • Ufufuko wa Yesu
Kupaa mbinguni  • Ujio wa pili
Injili  • Majina ya Yesu katika Agano Jipya  • Yesu kadiri ya historia  • Tarehe za maisha ya Yesu • Kristolojia

Mazingira ya Yesu

Wayahudi • Kiaramu • Bikira Maria • Yosefu (mume wa Maria) • Familia takatifu • Ukoo wa Yesu • Ndugu wa Yesu • Yohane Mbatizaji

Mitazamo juu ya Yesu

Mitazamo katika Agano Jipya · Mitazamo ya Kikristo • Mitazamo ya Kiyahudi • Mitazamo ya Kiislamu • Yesu katika sanaa

Ingawa Injili hazitumii jina hilo, Mtume Paulo alilieneza kupitia nyaraka zake kuhusiana na kifo chake msalabani.[1][2]

Hivyo Agano Jipya linamtaja Yesu Kristo kama Mwokozi mara 16, likisisitiza kuwa ameokoa wote.[3]

Waraka wa kwanza wa Yohane unamtaja kama "kipatanisho cha dhambi zetu, tena si cha dhambi zetu tu, bali cha dhambi za ulimwengu" (1 Yohane 2:2).[4]

Mbali ya Yesu, Agano Jipya linatumia jina hilo kwa Mungu tu (mara 8), wakati Agano la Kale linaita watu mbalimbali kwa jina hilo, kwa sababu ya kuokoa mtu mmoja, wachache au wengi kutoka matatizo mbalimbali.

Tanbihi hariri

  1. Leon Morris, 'Redemption' Dictionary of Paul and his Letters (Downers Grove: InterVarsity Press, 1993): 784.
  2. Bruce Demarest, The Cross and Salvation: The Doctrine of Salvation (Wheaton: Crossway Books, 1997): 176.
  3. On Christ's role as universal Saviour, cf. Gerald O'Collins, Salvation for All: God's Other Peoples, OUP (2008).
  4. For this section, and its respective themes and positions, compare Gerald O'Collins, Christology: A Biblical, Historical, and Systematic Study of Jesus, OUP (2009), pp. 297-333. Cf. also O'Collins, Salvation for All: God's Other Peoples, cit.; id., Jesus: A Portrait, Darton, Longman & Todd (2008), Chs 11-12; id., Incarnation, Continuum (2002), pp. 36-42; J.A. Fitzmyer, The Gospel According to Luke I-IX, Doubleday (1981), pp. 79-82; Karl Rahner, Foundations of Christian Faith, trans. W.V. Dych, Darton, Longman & Todd (1978), pp. 193-195, 204-206, 279-280, 316-321.

Marejeo hariri

  • Borgen, Peder. Early Christianity and Hellenistic Judaism. Edinburgh: T & T Clark Publishing. 1996.
  • Brown, Raymond. An Introduction to the New Testament. New York: Doubleday. 1997.
  • Dunn, J. D. G.. Christology in the Making. London: SCM Press. 1989.
  • Ferguson, Everett. Backgrounds in Early Christianity. Grand Rapids: Eerdmans Publishing. 1993.
  • Greene, Colin J. D. Christology in Cultural Perspective: Marking Out the Horizons. Grand Rapids: InterVarsity Press. Eerdmans Publishing. 2003.
  • Holt, Bradley P. Thirsty for God: A Brief History of Christian Spirituality. Minneapolis: Fortress Press. 2005.
  • Letham, Robert. The Work of Christ. Downers Grove: InterVarsity Press. 1993.
  • Macleod, Donald. The Person of Christ. Downers Grove: InterVarsity Press. 1998.
  • McGrath, Alister. Historical Theology: An Introduction to the History of Christian Thought. Oxford: Blackwell Publishing. 1998.
  • Macquarrie, J.. Jesus Christ in Modern Thought. London: SCM Press. 1990.
  • Neusner, Jacob. From Politics to Piety: The Emergence of Pharisaic Judaism. Providence, R. I.: Brown University. 1973.
  • Norris, Richard A. Jr. The Christological Controversy. Philadelphia: Fortress Press. 1980.
  • O'Collins, Gerald. Christology: A Biblical, Historical, and Systematic Study of Jesus. Oxford:Oxford University Press. 2009.
  • _______ Jesus: A Portrait. London: Darton, Longman & Todd. 2008.
  • _______ Salvation for All: God's Other Peoples. Oxford:Oxford University Press. 2008.
  • Pelikan, Jaroslav. Development of Christian Doctrine: Some Historical Prolegomena. London: Yale University Press. 1969.
  • _______ The Emergence of the Catholic Tradition (100-600). Chicago: University of Chicago Press. 1971.
  • Rahner, Karl. Foundations of Christian Faith, trans. W.V. Dych. London: Darton, Longman & Todd. 1978.
  • Tyson, John R. Invitation to Christian Spirituality: An Ecumenical Anthology. New York: Oxford University Press. 1999.
  Makala hii kuhusu dini ya Ukristo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mwokozi kama historia yake, matokeo au athari zake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.