Nozeli (kutoka Kiingereza: nozzle[1]) ni kifaa kilichobuniwa na kutengenezwa kwa madhumuni ya kuelekeza na kubadilisha tabia ya kimiminika au gesi inayopita ndani yake.

Nozeli ya maji


Marejeo hariri

  Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.