Odo wa Cluny (kwa Kifaransa: Odon; Deols, karibu na Le Mans, 880 hivi – 18 Novemba 942) alikuwa abati wa pili wa monasteri ya Cluny.

Mchoro mdogo wa karne ya 11 unaomuonyesha Odo wa Cluny.

Aliendeleza urekebisho huo wa Wabenedikto nchini Ufaransa na Italia[1][2].

Habari zake zinapatikana katika kitabu Vita Odonis kilichoandikwa na Yohane wa Salerno, mwanafunzi wake.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake, 18 Novemba[3].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Marejeo hariri

  • Schoolmasters of the Tenth Century. Cora E.Lutz. Archon Books 1977.

Viungo vya nje hariri

 
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.