Onufri mkaapweke
Onufri mkaapweke (pia "Nofer"; kwa Kigiriki Ὀνούφριος, labda kutoka Kimisri "Unnufer", yaani "Mwenye furaha daima"[1]) aliishi miaka sitini au sabini jangwani katika Misri Kusini katika karne ya 4 au ya 5 bila kuonekana na mtu, kiasi kwamba hakuvaa nguo yoyote.
Habari zake zimesimuliwa na Pafnusi wa Tebe, ambaye peke yake alifaulu kumuona mwishoni mwa maisha yake na kumzika.[2]
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki, Waorthodoksi na Waorthodoksi wa Mashariki kama mtakatifu.
Tazama pia hariri
Tanbihi hariri
- ↑ Gardiner, Alan H. (1936). "The Egyptian Origin of Some English Personal Names". Journal of the American Oriental Society (American Oriental Society) 56 (2): 189–97. ISSN 0003-0279. JSTOR 594666. doi:10.2307/594666 – kutoka JSTOR. (registration required (help)).
- ↑ Peter W. Parshall; Rainer Schoch, National Gallery of Art (U.S.); Origins of European Printmaking (Yale University Press, 2005), 318.
- ↑ Martyrologium Romanum
- ↑ https://catholicsaints.info/saint-onuphrius/
Vyanzo hariri
- Alban Butler, Paul Burns; Butler’s Lives of the Saints (Continuum International Publishing Group, 2000)
Viungo vya nje hariri
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
- (Kiitalia) Sant’Onofrio
- San Onofre Archived 2 Agosti 2008 at the Wayback Machine.
- San Onofre Archived 3 Agosti 2018 at the Wayback Machine.
- Saint Onuphrius engraved by a Flemish artist from the De Verda collection
- The Wild Man: Medieval Myth and Symbolism, an exhibition catalog from The Metropolitan Museum of Art (fully available online as PDF), which contains material on Onuphrius (no. 20)
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |