Opera ni kivinjari cha wavuti kwa Windows, MacOS, na Linux ambacho ni mifumo ya uendeshaji iliyoandaliwa na Opera Software. Inatumia injini ya mpangilio wa Blink.

Opera

Toleo la mapema ilikuwa ni kwa kutumia injini ya mpangilio wa Presto bado inapatikana, na inaendesha mifumo ya FreeBSD.

Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.