Paka
Paka miguu-myeusi
Paka miguu-myeusi
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Ngeli: Mammalia (Wanyama wenye viwele)
Oda: Carnivora (Wanyama mbua)
Nusuoda: Feliformia (Wanyama kama paka)
Familia: Felidae (Wanyama walio na mnasaba na paka)
Nusufamilia: Felinae (Wanyama wanaofanana na paka)
Fischer von Waldheim, 1817
Ngazi za chini

Jenasi 10:

Paka ni wanyama mbuai wa nusufamilia Felinae katika familia Felidae. Spishi nyingine zinaitwa duma, simbamangu na mondo. Nyingi ni ndogo kama paka-kaya lakini spishi kama duma, linksi na puma ni kubwa zaidi sana. Isipokuwa simbamangu, Asian golden cat, puma na pengine paka-msitu, paka wote wana milia na/au madoa. Paka hukamata mawindo aina yo yote lakini ukubwa wa mawindo unafuatana na ukubwa wa spishi ya paka. Spishi nyingine zinatokea msitu na nyingine zinatokea maeneo wazi.

Spishi za Afrika hariri

Spishi za mabara mengine hariri

Picha hariri

Viungo vya nje hariri

https://en.wikipedia.org/wiki/Cat