Papa Alexander VII

Papa Alexander VII (13 Februari 159922 Mei 1667) alikuwa Papa kuanzia tarehe 7/18 Aprili 1655 hadi kifo chake[1]. Alitokea Siena, Italia[2].

Papa Aleksanda VII.

Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Fabio Chigi.

Alimfuata Papa Inosenti X akafuatwa na Papa Klementi IX.

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Viungo vya nje hariri

  Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Alexander VII kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.