Papa Benedikto IV alikuwa Papa kuanzia Januari/Mei, 900 hadi kifo chake mwezi wa Julai 903[1]. Alitokea Roma, Lazio, Italia[2].

Papa Benedikto IV.

Alimfuata Papa Yohane IX akafuatwa na Papa Leo V.

Tazama pia hariri

Maandishi yake hariri

Tanbihi hariri

Marejeo hariri

  • Norwich, John Julius, The Popes: A History (2011)
  • Mann, Horace K., The Lives of the Popes in the Early Middle Ages, Vol. IV: The Popes in the Days of Feudal Anarchy, 891-999 (1910)
  • DeCormenin, Louis Marie; Gihon, James L., A Complete History of the Popes of Rome, from Saint Peter, the First Bishop to Pius the Ninth (1857)

Viungo vya nje hariri

  Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Benedikto IV kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.