Papa Eutychian alikuwa Papa kuanzia tarehe 4 Januari 275 hadi kifo chake tarehe 7 Desemba 283[1]. Alitokea Luni, Toscana, Italia[2].

Mt. Eutikiani.

Alimfuata Papa Felisi I akafuatwa na Papa Kayo.

Hakuna habari nyingi za hakika juu ya maisha na kazi yake[3].

Hata hivyo, tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake ni tarehe 8 Desemba[4].

Tazama pia hariri

Maandishi yake hariri

Tanbihi hariri

  1. https://www.vatican.va/content/vatican/en/holy-father.index.html#holy-father
  2. ((The Editors of Encyclopædia Britannica)). "Saint Eutychian". Encyclopædia Britannica. https://www.britannica.com/biography/Saint-Eutychian. Retrieved 16 August 2016.
  3. Kigezo:EB1911
  4. Martyrologium Romanum: ex Decreto Sacrosancti oecumenici Concilii Vaticani II instauratum auctoritate Ioannis Pauli P.P. II promulgatum, Romae 2001, ISBN 8820972107

Viungo vya nje hariri

  Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Eutychian kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.